Posted on: December 1st, 2024
Wananchi wa Wilaya ya Same wametakiwa kujitokeza kwenye vituo vya kutolea huduma za Afya na ushauri nasaha kwaajili ya kupima afya zao na kupata ushauri juu ya kujiepusha na ugonjwa hatari wa UKIMWI.
...
Posted on: November 28th, 2024
Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Same Mashariki na Same Magharibi Bw.Jimson Mhagama amesema tayari Viongozi wa Serikali za Vijiji 100 ambavyo vinaundwa na vitongoji 503 wameapishwa viapo vya uamin...
Posted on: November 28th, 2024
Wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilayani Same wameibuka na ushindi mkubwa kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Novemba 27 mwaka huu hapa nchini.
Akitoa taarifa ya matokeo ya Uchag...