Posted on: September 10th, 2024
Jumla ya wanafunzi 6151 wanatarajia kufanya mitihani ya kuhitimu darasa la Saba Wilayani Same ambapo kati yao wanafunzi 3012 ni wavulana na wasichana ni 3139, takwimu hizo zinajumuisha wanafunzi wenye...
Posted on: September 4th, 2024
Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Same Mkoani Kilimanjaro imetoa vyeti vya pongezi kwa Taasisi ambazo zimefanya vizuri kwenye ukusanyaji wa Mapato Wilayani humo kwa kipindi cha Aprili hadi Juni 2024.
Taas...
Posted on: September 4th, 2024
Halmashauri ya Wilaya ya Same imetoa elimu ya Afya ya Kinywa na Meno katika shule za msingi nne ili kuwawezesha wanafunzi kujua namna ya kutunza kinywa ili kuepuka maradhi ya meno.
Hayo yamebainish...