• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

SAME YAPOKEA BIL 1.8 ZA BOOST

Posted on: May 8th, 2023

Halmashauri ya Wilaya ya Same imepokea jumla ya shilingi Bil 1.8 kutoka Mradi wa kuimarisha Ufundishaji na Ujifunzaji kwa shule za Awali na Msingi (BOOST)ambazo zitatekeleza miradi mbalimbali katika shule 10 za Msingi. 

Akitoa taarifa katika kikao cha Baraza la Madiwani Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Same,Anastazia Tutuba amesema fedha hizo tayari zimeshaingia katika Akaunti za shule kwaajili ya kuanza utekelezaji.

Alizitaja shule zinazonufaika na Mradi wa BOOST Wilayani Same kuwa ni Shule ya Msingi Kisima ambapo patajengwa shule mpya((446,500,000/-),Shule ya Msingi Mgandu ambapo patajengwa pia shule mpya(348,500,000/-).

Shule nyingine ni Mpirani,Turiani na Kwesasu ambazo kila moja imepatiwa shilingi 131,300,000/-kwaajili ya ujenzi wa madarasa matano kila moja huku shule ya Msingi Mbono na Ndolwa ambazo kila moja imepatiwa shilingi 181,300,000/- kwaajili ya ujenzi wa madarasa saba kila shule..

“Shule ya Msingi Kikwete imepokea Shilingi 162,600,000/-kwaajili ya ujenzi wa madarasa sita na Dimbwi wamepokea shilingi 81,300,000/- kwaajili ya ujenzi wa madarasa matatu huku shule ya Msingi Mbuyuni ikipokea Shilingi 69,100,000/- kwaajili ya ujenzi wa madarasa mawili ya kisasa ya Awali ”amesema Tutuba.

Mkurugenzi ameishukuru Serikali kwa fedha hizo ambazo zitasaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza uhaba wa madarasa katika shule za Msingi Wilayani humo na pia kusaidia ongezeko la shule kwa kujenga shule mpya.

Akipokea taarifa hiyo Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe.Yusto Mapande pia aliishukuru serikali kwa kuipatiwa Wilaya hiyo fedha hizo ambapo amemtaka Mkurugenzi wa Halmashauri na timu yake kuhakikisha kuwa Miradi hiyo inakamilika kwa wakati na kwa ubora unaostahili.

“Sina mashaka na wewe Mkurugenzi nina imani hii miradi utaisismamia vema ili ikamilike kwa wakati na kwa ubora kama unavyosimamia miradi mingine inayotekelezwa katika Wilaya yetu”alisema Mhe.Mapande

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • MATOKEO DARASA LA SABA 2020 November 23, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • DC SAME AMUONYA MWEKEZAJI SHAMBA LA MKONGE

    September 14, 2023
  • WILAYA YA SAME YAZINDUA MNADA BARABARA KUU YA DAR ES SALAAM

    September 08, 2023
  • CCM WAOMBA WILAYA YA SAME KUONGEZEWA FEDHA ZINAZOKADIRIWA KWAAJILI YA MIIRADI

    September 15, 2023
  • MWENYEKITI WA HALMASHAURI SAME APONGEZA USIMAMIZI BOOST

    September 04, 2023
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Rules and Regulation
  • Videos
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

    The Way Through Mkomazi Nationa Park or District Hospital(Kibacha Rd)

    Sanduku La Posta: P.O.Box 138

    Simu ya mezani: +255 27 2758034

    Simu Ya Mkononi: +255 717657681

    Email: ded@samedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.