• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

DC KASILDA AAGIZA MVUA ZITUMIKE VEMA KUOTESHA MITI

Posted on: April 25th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Same Mhe.Kasilda Mgeni amewataka wananchi na taasisi Wilayani humo kuzitumia vema mvua zinazoendelea kunyesha kwa kuotesha miti ili kutunza mazingira.

Mhe.Kasilda ameyasema hayo wakati akiongoza zoezi la upandaji miti katika Shule ya Sekondari Same ambapo zaidi ya miti 200 iliweza kuoteshwa.

Miti hiyo ilioteshwa na Mkuu wa Wilaya pamoja na wajumbe wa Kamati ya Fedha ya Halmashauri ambao walikuwa katika Ziara ya kawaida ya kukagua Miradi ya Maendeleo.

Kamati hiyo ikiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe.Yusto Mapande pia iliotesha miti pia katika eneo inapojengwa Hospitali mpya ya Wilaya.

Akizungumza wakati wa kuotesha miti Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe.Yusto amezitaka Taasisi hizo kuhakikisha kuwa mti inayooteshwa inatunzwa vema ili isife.

"Hii miti tunayootesha hakikisheni kwamba haifi,muitunze kwa faida yetu na vizazi vijavyo"amesema Yusto

Akizungumzia uoteshaji wa miti Wilayani humo, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Bi.Anastazia Tutuba amesema tayari Wilaya hiyo imeshaotesha miti zaidi ya 900,000 kati ya miti mil. 1.5 inayotakiwa kuoteshwa kufikia June,2023.

"Tuna uhakika hadi kufikia mwezi June tutakuwa tumefikia lengo la kuotesha miti 1.5 tulilojiwekea"amesema Anastazia

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • MATOKEO DARASA LA SABA 2020 November 23, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • DC SAME AMUONYA MWEKEZAJI SHAMBA LA MKONGE

    September 14, 2023
  • WILAYA YA SAME YAZINDUA MNADA BARABARA KUU YA DAR ES SALAAM

    September 08, 2023
  • CCM WAOMBA WILAYA YA SAME KUONGEZEWA FEDHA ZINAZOKADIRIWA KWAAJILI YA MIIRADI

    September 15, 2023
  • MWENYEKITI WA HALMASHAURI SAME APONGEZA USIMAMIZI BOOST

    September 04, 2023
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Rules and Regulation
  • Videos
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

    The Way Through Mkomazi Nationa Park or District Hospital(Kibacha Rd)

    Sanduku La Posta: P.O.Box 138

    Simu ya mezani: +255 27 2758034

    Simu Ya Mkononi: +255 717657681

    Email: ded@samedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.