• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

BARAZA LA BIASHARA SAME LAHUISHWA

Posted on: August 15th, 2019

Baraza la Biashara wilayani Same lahuishwa ambapo mgeni rasmi ni Mkuu wa Wilaya ya Same Mhe.Rosemary Senyamule ambaye ni Mwenyekiti wa Baraza hilo na Katibu ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Same.Wadau mbalimbali washirikishwa kama TANAPA,mashirika binafsi,wakulima,Wafanyabiashara,TCCIA,mwakilishi kutoka Wizara ya Viwanda na Biashara wote hao wakiwa ni wajumbe wa Baraza hilo.

Akizungumza katika kikao cha Baraza hilo Mhe.Rosemary Senyamule asisitiza wajumbe kuboresha kwa Blue Print,kuboresha kwa fursa mbalimbali za kibiashara na kutatua kero mbalimbali za kibiashara.Vilevile kufungua ukurasa mkubwa wa mapinduzi ya kibiashara wilayani Same ili wananchi wahamasike na kupata huduma bora zaidi.


Vikosi kazi mbalimbali ambavyo ni utalii,biashara,mazingira,kilimo,ufugaji na uvuvi,afya na elimu vyaundwa ili kuchochea utendaji mzuri wa Baraza hilo kwa manufaa ya wananchi.

Mhe.Senyamule aagiza Halmashauri na TANESCO kukaa vizuri na kujitathmini wapi wanakwama,ni kero gani zinajitokeza katika biashara ili kutatua na kuondoa kero hizo kwa wananchi na kuongeza mapato ya Wilaya ya Same kutokana na kuboresha huduma mbalimbali.

Vilevile Mkurugenzi Mtendaji aagizwa kushirikiana na wataalamu kuboresha na kubadili mtazamo na kufanya kazi kwa weledi ili wananchi wapate huduma nzuri na bora zaidi.

Awapongeza wanawake kupatiwa eneo kwa ajili ya usindikaji wa bidhaa mbalimbali kama wine katika kata ya Saweni.

Awashukuru Wizara ya Viwanda na Biashara kushiriki katika Baraza hilo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • WACHIMBA MADINI SAME WATAKIWA KUTUNZA MAZINGIRA

    May 19, 2025
  • SAME YAPANIA KUONGEZA UZALISHAJI WA MKONGE

    May 05, 2025
  • SAME YAPANIA KUONGEZA UZALISHAJI WA MKONGE

    May 05, 2025
  • SAME YAOMBA WIZARA YA KILIMO KUIPATAIA MICHE YA PARACHICHI

    May 01, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.