• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

Historia

HALMASHAURI YA WILAYA YA SAME

HISTORIA YA WILAYA YA SAME.

UTANGULIZI

Halmashauri ya Wilaya ya Same ilianzishwa rasmi kwa Sheria ya Bunge Sura ya 287 (Mamlaka za Wilaya) ya Sheria za Tanzania na ilianza kutekeleza majukumu yake tarehe 01 Januari 1984. Aidha Halmashauri ina Idara 13 na vitengo 6 ambavyo vinatekeleza majukumu mbalimbali kama ambavyo imeanishwa hapo chini:-

 

1.0  IDARA YA AFYA  

1.1 Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF)

Asilimia 30.6 ya kaya za Wilaya ya Same zimejiunga na CHF. Kwa Mkoa wa Kilimanjaro Wilaya ya Same ni ya 3 Kati ya Wilaya saba za Mkoa.

1.1.1 Mipango/Mikakati Iliyopo kufikisha 80%

  1. Kuhakikisha     walengwa wanaopata Fedha kupitia mpango wa Kaya maskini-TASAF wanajiunga     na mfuko wa CHF 
  2. Kutumia     wanafunzi wa shule wakiwa kwenye makundi ya watu sita kujiunga na CHF kwa     mfano Same Sekondari.
  3. Bodi ya     Afya ya Wilaya kufanya ziara ya uhamasishaji kwa kamati za vituo vya Afya     kujiunga na CHF.
  4. Kamati za     Afya za vituo kufanya uhamasishaji kwa jamii kupia mikutano ya vijiji na     CHF kuwa Agenda ya kudumu kwenye vikao vya vijiji.

 

Jedwali 1.1: Vituo Vya Kutolea Huduma Za Afya Wilayani

                                                                                         
 

S/No

 
 

AINA YA KITUO

 
 

IDADI

 
 

 

 
 

 

 
 

SERIKALI

 
 

MASHIRIKA YA DINI

 
 

BINAFSI

 
 

JUMLA

 
 

1

 
 

Hospitali

 
 

1

 
 

1

 
 

-

 
 

2

 
 

2

 
 

Vituo vya Afya

 
 

6

 
 

1

 
 

1

 
 

8

 
 

3

 
 

Zahanati

 
 

39

 
 

15

 
 

9

 
 

62

 
 

 

 
 

Jumla

 
 

46

 
 

17

 
 

10

 
 

72

 

Chanzo: Idara ya Afya

1.3 Hali ya upatikanaji wa dawa na vifaa tiba

Upatikanaji wa dawa na vifaa tiba katika vituo vya kutolea huduma ni wa wastani, hii imesababishwa na upungufu wa dawa na vifaa tiba kutoka bohari ya dawa (msd), pia msd kutotoa ruhusa ya kununua dawa na vifaa tiba mapema kutoka kwa wazabuni wengine. Vifaa vilivyopo kwenye Hospitali ya Wilaya ni X-ray, Ultrasound, Anaesthetic machine, Autoclave, Washing mashine, Generator, Microscope, Votex, Diathermy na Pima Machine.

1.4 Mkakati makini wa zoezi la usafi na Mipango ya kuwafanya watu wajenge tabia ya usafi

1.      Kila kitongoji kuwa na siku moja ya usafi itakayoshirikisha kila mwananchi tofauti na siku ya jumamosi ya mwisho wa mwezi ya usafi kitaifa

2.      Kuunnda/kuwa na vikundi kazi kwa kila kata vitakavyotokana na jamii , vitakavyohusika kusimamia usafi kwa kila kata na watakao kaidi watatozwa faini. Aidha asilimia kadhaa ya faini itakuwa ya vikundi/kikundi kutegemeana na makubaliano

3.      Kila kata kuwa na Afisa afya atakayeshirikiana na wataalamu wengine waliopo kwenye kata. Kata ambayo haina Afisa afya ateuliwe afisa maendeleo ya jamii kukaimu nafasi ya Afisa afya

4.      Kuchukua hatua za kisheria ikiwa ni pamoja na kuwafikisha mahakamani wote watakaokiuka sheria na kanuni za afya ya mazingira

5.      Kuwa na dampo la taka ngumu na taka maji katika Halmashauri

6.      Kuwa na vitendea kazi, gari rasmi la kusomba taka na ada za uzoaji taka zitumike kwa makusudi ya uzoaji taka

7.      Kuwezesha walezi wa kata siku 5 kila robo mwaka kwa ajili ya kutembelea kata na kuhamasisha jamii juu ya usafi wa mazingira

8.      Kila biashara/ kaya kuwa na chombo/vyombo vya kuhifadhia taka

9.      Kushinadanisha kitongoji au mtaa, kata na kata ili kuleta ushindani na kuboresha usafi

10.   Kujenga vizimba vya taka katika maeneo yatakayo ainishwa Elimu ya usafi na mazingira ikaziwe shuleni (shule za msingi, sekondari na vyuo) mahali pa kazi yao.

 

 

 

1.5 Idadi ya Watumishi waliopo, Ikama na Pungufu ndani ya Idara 

Idara ya afya inahitaji jumla ya watumishi 1114 waliopo ni 462, idara ina upungufu wa watumishi 689. Sawa na 61.8%. Hospitali ya Wilaya inahitaji Watumishi kwa kada kama ifuatavyo:-

Jedwali 1.1: Idadi ya Watumishi waliopo, Ikama na Pungufu ndani ya Idara

                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                             
 

FANI YA MTUMISHI

 
 

HITAJIKA

 
 

WALIYOPO

 
 

PUNGUFU

 
 

Medical Doctor 

 
 

23

 
 

4

 
 

19

 
 

Assistant Medical officer

 
 

39

 
 

3

 
 

36

 
 

Assistant Dental officer

 
 

1

 
 

-

 
 

1

 
 

Dental therapist

 
 

2

 
 

1

 
 

1

 
 

Pharmacist

 
 

2

 
 

1

 
 

1

 
 

Pharmaceutical Technologist 

 
 

 

 
 

5

 
 

 

 
 

AssistantPharmaceutical Technologist

 
 

8

 
 

-

 
 

8

 
 

Social welfare

 
 

3

 
 

-

 
 

3

 
 

Environmental  officer Health officer

 
 

2

 
 

1

 
 

1

 
 

Wauguzi

 
 

99

 
 

71

 
 

28

 
 

Laboratory scientist

 
 

1

 
 

1

 
 

-

 
 

Health laboratory technologist

 
 

4

 
 

4

 
 

-

 
 

AssistantHealth   laboratory technologist

 
 

4

 
 

1

 
 

3

 
 

Occupational therapist

 
 

2

 
 

1

 
 

1

 
 

Physiotherapist

 
 

2

 
 

2

 
 

-

 
 

Medicall attendants

 
 

59

 
 

44

 
 

15

 
 

Health secretary

 
 

1

 
 

1

 
 

-

 
 

Medical recoder 

 
 

5

 
 

1

 
 

4

 
 

Radiology scientist

 
 

1

 
 

-

 
 

1

 
 

Radiographer technologist

 
 

3

 
 

-

 
 

3

 
 

Nutritionist

 
 

1

 
 

1

 
 

-

 
 

Ophthalmologist

 
 

1

 
 

1

 
 

-

 
 

Optometrist

 
 

3

 
 

-

 
 

3

 
 

Economist

 
 

1

 
 

-

 
 

1

 
 

Biomedical technologist

 
 

4

 
 

-

 
 

4

 
 

Motury attendants

 
 

5

 
 

-

 
 

5

 
 

Computer system analysit

 
 

1

 
 

-

 
 

1

 
 

Computer operator

 
 

1

 
 

-

 
 

1

 
 

Accountant

 
 

1

 
 

-

 
 

1

 
 

Assistant Accountants 

 
 

2

 
 

-

 
 

2

 
 

Supplier officer

 
 

1

 
 

-

 
 

1

 
 

Assistant supplier officer

 
 

1

 
 

1

 
 

-

 
 

Electrical Technician

 
 

4

 
 

-

 
 

4

 
 

Personal secretary 

 
 

1

 
 

1

 
 

-

 
 

Plumber 

 
 

1

 
 

-

 
 

1

 
 

Security guard

 
 

4

 
 

2

 
 

2

 
 

Cooker

 
 

4

 
 

-

 
 

4

 
 

Dhobi

 
 

4

 
 

-

 
 

4

 
 

Driver

 
 

5

 
 

2

 
 

3

 





Chanzo: Idara ya Afya

Kwa upande wa Hospitali ya Wilaya, kutokana na staffing level 2014-2018 Hospitali ya wilaya ina upungufu wa watumishi 97.

1.6 Magonjwa Kumi yanayoongoza kwa Idara ya Wagonjwa wa Nje ni:

Magonjwa ya njia ya hewa, Nimonia, Malaria, Magonjwa ya kuhara, Minyoo ya tumbo, Magonjwa ya ngozi, Magonjwa mengine, Upasuaji wa dharura, Upungufu wa damu na Magonjwa ya macho.

 

1.7 Magonjwa Kumi yanayoongoza kwa Idara ya Wagonjwa wa Ndani ni: Nimonia, Magonjwa ya njia ya hewa, Magonjwa mengine, Malaria kali, Upungufu wa damu, Magonjwa ya kuhara, Watoto waliozaliwa na uzito mdogo, Upasuaji wa dharura, Ukimwi na Majeraha mbalimbali.

 

1.8 Vifo Vya Watoto Umri Chini Ya Siku 28

Mwaka 2015 vilitokea vifo 5 katika vizazi hai 1000

 

1.9 Vifo Vya Watoto Chini Ya Miaka 5

Mwaka 2015 vilitokea vifo 8 katika vizazi hai 1000

 

 

 

1.10 Hali Ya Maambukizi Ya Virusi Vya UKIMWI

Kiwango cha maambukizi ni 1.4%, Watu wanaoishi na VVU ni 6,181, wanaotumia dawa ni WAVIU 4, 688, vituo vinavyotoa huduma kwa WAVIU ni 8, na huduma kwa njia ya kliniki ya mkoba ziko 9.

 

1.11 Changamoto

Idara ya afya inapambana na Changamoto zifuatazo: -

1.      Upungufu wa watumishi wenye taaluma mbalimbali kwa asilimia 61.4% 

2.       Kuchelewa kupokea fedha za mfuko wa pamoja na kutokupokea kabisa fedha za kutokana na kutokupata fedha za matumizi mengineyo (OC) ruzuku kutoka serikali kuu tangu mwezi Januari 2016

3.      Wodi zilizopo ni ndogo hazikidhi mahitaji.

4.      Upungufu na uchakavu wa nyumba za watumishi katika ngazi zote za vituo vya huduma.

5.      Maabara ya Hospitali ya wilaya ni ndogo, Halmashauri imeanza funya mawasiliano na marafiki wake wa Tillburg Partnership Uholanzi ili kupata fedha za ujenzi wa Maabara mpya.

6.      Kutokupokea fedha ya kulipa watumishi walioitwa kazini (on call allowance) tangu mwezi Janauri 2016.

 

1.12 Mikakati ya kupambana na Changamoto 

Ili kupambana na changamoto hizo, idara imeweka mikakati ifuatayo:

        i.            Kuomba vibali vya ajira na kuweka vivutio kwa waajiriwa wapya na watumishi kwa ujumla (Staff attraction and Retention strategies)

      ii.            Kushirikiana na Bohari ya dawa (MSD) kuboresha upatikanaji wa dawa na vifaa tiba, kwa kuhakikisha kwamba kila kituo kinaandaa na kutuma taarifa na maombi ya dawa na vifaa – tiba kwa wakati kwenda MSD, na Idara kufuatilia maombi hayo ili yafanyiwe kazi na makasha kusambazwa vituoni kwa wakati muafaka. 

    iii.            Halmashauri tayari imeomba mkopo wa dawa kutoka Mfuko wa Taifya wa Bima ya Afya na inakarabati chumba kwa ajili ya duka la dawa ndani ya hospitali ya Wilaya ili kukabiliana na changamoto ya wagonjwa kununua dawa na vifaa tiba nje ya hospitali.

    iv.            Kushirikisha wadau wengine wa sekta ya Afya katika upatikanaji wa          Vifaa tiba na vitendea kazi Muhimu vya kutolea huduma bora za afya. Hadi sasa Idara imewashirikisha Tillburg Partnership (Uholanzi), PSPF, CRDB na NMB. Bado Idara inatafuta wadau wengine.

      v.            Kuwashirikisha wadau mbalimbali ili kupata fedha za kujengea jengo la kusubiria wajawazito na wodi za wagonjwa katika Hospitali ya wilaya.

    vi.            Kuendelea kuomba fedha serikali kuu kwa ajili ya ruzuku, posho za kuitwa kazini na posho ya kujikimu kwa waajiriwa wapya.

2.0 IDARA YA ELIMU MSINGI

2.1 Utangulizi

Halmashauri ina jumla ya shule za Msingi 192 kati ya hizo shule 185 ni za Serikali na 7 ni za binafsi. Shule hizi ziko katika Kata za Kiutawala 34 na Kata 1 ya Kielimu.. Shule hizi zina jumla ya wanafunzi 59833 kati yao wasichana ni 30613 na wavulana ni 2920. 

2.2 Ufaulu wa Wanafunzi

Kiwango cha kufaulu kwa Mtihani wa Taifa darasa la Saba Kimkoa na Kitaifa ni kama ifuatavyo:-

Jedwali 2.1: Ufaulu wa Mtihani wa Taifa darasa la Saba Kimkoa na Kitaifa

                                   
 

MWAKA

 
 

KIWANGO CHA UFAULU (%)

 
 

NAFASI KIMKOA

 
 

NAFASI TAIFA

 
 

2014

 
 

63.48

 
 

7

 
 

52

 
 

2015 

 
 

75.94

 
 

6

 
 

51

 

Chanzo: Idara ya Elimu Msingi

2.3 Malengo Ya Kuongeza Ufaulu

Ili kufikia malengo ya asilimia themanini na tano ya ufaulu (85%), Halmashauri kupitia idara ya Elimu Msingi imeweka mikakati ya kukabiliana na tatizo la ufaulu duni katika mitihani ya ndani na ya kitaifa kama ifuatavyo: 

o    Kufuatiliaji utendaji kazi wa walimu katika Uongozi na Utawala na Utekelzaji wa Mtaala. Zoezi lilianza kwa kufuatilia shule 35 zilizofanya vibaya zaidi

o    Kuomba walimu toka TAMISEMI ili tuweze kupunguza upungufu mkubwa wa walimu.

o    Kuhamashisha wazazi na walezi kuchangia chakula cha mchana ili wanafunzi wapate chakula cha mchana shuleni.

o    Shule zote zimepewa maagizo ya kutekeleza Ratiba ya ufundishaji wa muda wa ziada ili kurekebisha mapungufu yaliyojitokeza kipindi kilichopita.

o    Halmashauri kwa kushirikiana na wadau mbali mbali wa elimu itaendelea kutoa mafunzo ya mbinu za ufundishaji kwa walimu mfano semina ya somo la Lugha na Hisabati.

o    Idara inaendelea na mpango wa kusoma na kutafisiri mpango wa kuinua taaluma ya Mkoa wa  Katavi ujulikanao kama “ Katavi model” ili uweze kuhawilishwa na kutumika katika wilaya ya Same kwa lengo la kuinua na kuboresha taaluma.

o    Kuhimiza na kusimamia mazoezi ya mwisho wa wiki, mwezi, mitihani ya utamirifu na ile ya Mwisho wa mihula ili kuchochea ushindani katika ngazi ya darasa, shule, Kata, Tarafa, Wilaya na Mkoa.

o    Kupitia na kutekeleza Ushauri na Mapendekezo Mthibiti Ubora wa Elimu shuleni.

o    Kutoa motisha chanya kwa walimu, wanafunzi na shule zilizofanya vizuri katika mitihani ya utamirifu Wilaya, Mkoa na Mitihani ya Kitaifa.

Jedwali 2.2: Miundo Mbinu Ya Shule: Samani Na Majengo

                                                                                                                                   
 

SAMANI

 
 

MAHITAJI

 
 

VILIVYOPO

 
 

UPUNGUFU

 
 

MADAWATI

 
 

26389

 
 

32775

 
 

6387

 
 

MEZA

 
 

2914

 
 

1719

 
 

1195

 
 

VITI

 
 

3211

 
 

1692

 
 

1519

 
 

KABATI

 
 

1714

 
 

523

 
 

1191

 
 

MAJENGO

 
 

 

 
 

 

 
 

 

 
 

NYUMBA ZA WALIMU

 
 

1463

 
 

368

 
 

1095

 
 

MADARASA

 
 

1551

 
 

1298

 
 

253

 
 

VYOO

 
 

2602

 
 

1599

 
 

1003

 
 

STOO

 
 

370

 
 

93

 
 

277

 
 

OFISI

 
 

372

 
 

295

 
 

77

 

Chanzo: Idara ya Elimu Msingi

2.4 Hali Ya Walimu Katika Shule Za Msingi:

Hali ya walimu ni kama ifuatavyo:-

 Jedwali 2.3: Walimu wa Shule Za Msingi Kwa Madaraja

                                                                         
 

SIFA

 
 

MAHITAJI

 
 

WALIOPO

 
 

PUNGUFU

 
 

ME

 
 

KE

 
 

JML

 
 

DARAJA IIIA

 
 

1999

 
 

558

 
 

846

 
 

1404

 
 

 

 

 

 

581

 
 

STASHAHADA

 
 

7

 
 

7

 
 

14

 
 

SHAHADA

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

JUMLA

 
 

565

 
 

853

 
 

1418

 

Chanzo: Idara ya Elimu Msingi

  Jedwali 2.4: Idadi Ya Walimu Katika Shule Za Msingi (Angalia Kiambatisho)

                           
 

MAHITAJI

 
 

WALIOPO

 
 

ASILIMIA

 
 

UPUNGUFU

 
 

ASILIMIA

 
 

1999

 
 

1418

 
 

70.9

 
 

581

 
 

29.1

 

Chanzo: Idara ya Elimu Msingi

2.5 Utoaji wa Chakula Shuleni

 Idadi ya shule zinazotoa chakula katika wilaya Same ni 17 kati ya 185 shule hizo Nasuro, Daghaseta, Mughungani, Mkanyeni, Mwembe, Mshewa, Kafingiro, Goma, Kwizu Mrindi, Manka, Kweresha ,Kiomande, Parane, Ivuga, Mpinji na Tae.

 

2.6 Hali Ya Mimba

Hakuna taarifa ya mwanafunzi aliyepata mimba toka mwezi Januari hadi sasa

 

2.7 Changamoto Mbalimbambali Zilizopo 

Shule za Msingi Wilaya ya Same zinakumbana na changamoto mbali mbali, ambazo zinasababisha ufaulu wa wanafunzi kuwa wa kiwango cha chini. Baadhi ya changamoto hizo ni : 

o    Uhaba wa nyumba za walimu katika maeneo ya shule.

o    Kukosekana kwa chakula cha mchana kwa wanafunzi shuleni.

o    Upungufu mkubwa wa Walimu. 

o    Upungufu wa rasilimali fedha na vifaa kwa ajili ya ufuatiliji utendaji kazi wa walimu

3.0 IDARA YA ELIMU SEKONDARI 

3.1 Utangulizi

Halmashauri ya Wilaya ya Same ina jumla shule 51 za sekondari, kati ya shule hizo 36 ni za serikali na 15 ni za binafsi. Mwaka 2015 shule 47 za sekondari ndizo zilikuwa na watahiniwa wa shule wa Mtihani Taifa kidato cha nne. Shule moja ya Hedaru Sekondari haikufanikiwa kupata matokeo mpaka tathmini hii inafanyika kutokana na kutokuwasilisha nyaraka muhimu Baraza kwa wakati.

3.2 Idadi ya Wanafunzi, kabla na baada ya Uhakiki

Idadi ya Wanafunzi, kabla na baada ya Uhakiki ni kama ilivyoainishwa katika Majedwali hapa chini;

 

 

 

 


Jedwali 3.1: Idadi ya Wanafunzi kabla ya Uhakiki

                       

Chanzo: Idara ya Elimu Secondari

 

Jedwali 3.2: Idadi ya Wanafunzi baada ya Uhakiki

                                                                                                                                                     
 

IDADI YA WANAFUNZI ILIVYO MWEZI  AGOSTI, 2016 BAADA YA UHAKIKI

 

 

KID I

 
 

KID II

 
 

KID III

 
 

KID IV

 
 

KID V

 
 

KID VI

 
 

JUMLA KUU

 

 

ME

 
 

KE

 
 

JML

 
 

ME

 
 

KE

 
 

JML

 
 

ME

 
 

KE

 
 

JML

 
 

ME

 
 

KE

 
 

JML

 
 

ME

 
 

KE

 
 

JML

 
 

ME

 
 

KE

 
 

JML

 
 

ME

 
 

KE

 
 

JML

 

 

2133

 
 

2553

 
 

4686

 
 

1748

 
 

2142

 
 

3890

 
 

1162

 
 

1293

 
 

2455

 
 

1568

 
 

1865

 
 

3433

 
 

438

 
 

0

 
 

438

 
 

459

 
 

0

 
 

459

 
 

7508

 
 

7853

 
 

15361

 


Chanzo: Idara ya Elimu Secondari

 

 

 

 


3.3 Hali ya Ufaulu Katika Mitihani ya Kitaifa

Watahiniwa waliosajiliwa kufanya mtihani huo walikuwa 5044, kati yao wasichana ni 2816 na wavulana ni 2228.watahiniwa waliofanya mtihani walikuwa ni 4958 na waliopata daraja la ufaulu kuanzia daraja I-IV ni 2809 sawa na asilimia 56.6 ya waliofanya mtihani huo, ambapo watahiniwa 2149 walifeli, sawa na asilimia 43.4. Aidha, ufaulu huu umeshuka kwa asilimia 1.6 ukilinganisha na ufaulu wa mwaka 2014 ambapo ulikuwa ni asilimia 58.2.

Aidha, matokeo ya kidato cha pili, 2015, Watahiniwa waliosajiliwa kufanya mtihani wa upimaji walikuwa 4977, kati yao watahiniwa waliofanya mtihani walikuwa 4720 sawa na aslimia 94.8 ya waliosajiliwa. Kati ya Watahiniwa 4720 waliofanya Mtihani wa upimaji wa Taifa kidato cha pili, Watahiniwa waliopata madaraja ya ufaulu walikuwa 3856 sawa na asilimia 82 ya waliofanya mtihani. Watahiniwa waliofeli walikuwa 864 sawa na asilimia 18 ya waliofanya mtihani. 

3.2.1 Mchanganuo wa Ufaulu Kidato cha Nne 

Kufuatia utaratibu ambao  Baraza la Mitihani la Tanzania limetumia kutunuku matokeo ya mtihani wa taifa wa kidato cha nne 2015 kwa kutumia madaraja ya ufaulu kama ilivyokuwa mwaka 2013 na kurudi nyuma, matokeo ya kila shule yameainishwa katika madaraja matano ambayo ni “daraja la kwanza, pili, tatu, nne na waliofeli. Ufaulu huo kimadaraja ni kama ifuatavyo;

Jedwali 3.3: Hali ya ufaulu kimadaraja

Chanzo: Idara ya Elimu Secondari

 

 

 

 

3. 2.2 Nafasi Ya Wilaya Kimkoa Na Kitaifa

Katika mtihani wa taifa wa kidato cha nne (CSEE) mwaka 2014 wilaya ilishika nafasi ya 96. Kwa mwaka 2015 wilaya imeshika nafasi 7 kati ya wilaya 7 kimkoa na nafasi ya 102 kitaifa. Aidha, katika mtihani wa upimaji wa kidato cha pili (FTNA) kwa mwaka 2014, wilaya ilishika nafasi ya 47, na mwaka 2015 wilaya imeshika nafasi ya 57.

3.3  Mikakati ya Kuinua Taaluma Kiwilaya

  1. Kuendelea kufanya ufuatiliaji wa ufundishaji na     ujifunzaji mashuleni katika      kuhamasisha   walimu na     wanafunzi kutimiza wajibu na majukumu yao      ipasavyo
  2. Fomu ya mahdhurio ya walimu darasani na     mahudhurio ya walimu kwa mwezi zimeandaliwa na zinatumika. Ambapo kila     mwisho wa mwezi inawasilishwa ofisi ya Afisa  Elimu ili kujiridhisha namna ufundishaji     na ujifunzaji unavyoendelea shuleni
  3. Mawasiliano yamefanyika  kuiomba serikali kupanga walimu wa     sayansi kwa shule za serikali ambazo zinaupungufu mkubwa
  4. Walimu kuendelea kuandaa na kutumia nyaraka     muhimu za ufundishaji kama inavyoelekezwa na mamlaka husika
  5. Walimu     kufanya tathmini ya mitihani mbalimbali inayofanyika shuleni      

vi.  Wakuu wa shule wameagizwa kushirikiana na waratibu Elimu Kata kudhibiti utoro wa           wanafunzi ambao hawahudhurii masomo badala yake wanakuja siku za mitihani tu.

  1. kutoa     motisha kwa walimu na wanafunzi wanaofanya vizuri katika mitihani ya     taifa.
  2. Kupitia     vikao vya wazazi, WDC bodi za shule msisitizo ni  kwamba wazazi kushirikiana na walimu     pamoja na jamii nzima kutoa malezi mfungamano yatakayosaidia kuboresha     taaluma na kuwafanya wanafunzi kuwa na nidhamu nzuri.
  3. Idara inaendelea na mpango wa kusoma na kutafisiri     mpango wa kuinua taaluma ya Mkoa wa      Katavi ujulikanao kama “ Katavi model” ili uweze     kuhawilishwa na kutumika katika wilaya ya Same kwa lengo la kuinua na     kuboresha taaluma. Aidha, baada ya kusoma na kutafsiri, idara itaandaa     mpango wake na kuwasilishwa kama ilivyoelekezwa.

 

 

 

3.4  Hali ya Madarasa/ Vyoo/ Nyumba za Walimu/Maabara na Mikakati ya ukamilishaji

Kwa upande wa hali ya Madarasa, Vyoo na Nyumba za Walimu ni kama ilivyoainishwa katika jedwali lifuatalo;

Jedwali 3.4: Madarasa, Vyoo, Nyumba za Walimu

Chanzo: Idara ya Elimu Secondari

3.5  Idadi ya Walimu ukilinganisha na Ikama

Kwa upande wa Idati ya Walimu, tuna uhaba mkubwa kwa upande wa Walimu wa Masomo ya Sayansi ukilinganisha na Walimu wa Masomo ya sanaa ambao wapo wakutosha na baadhi ya masomo wamezidi. Mfano katika somo la Kiswahili kuna zidio la Walimu 32 na somo la Kingereza kuna zidio la Walimu 13 kama inavyoonekana katika jedwali hapa chini;

Jedwali 3.5: Idadi ya Walimu Wanaohitajika, Waliopo na Pungufu kwa kila somo

Chanzo: Idara ya Elimu Secondari

3.6 Ukamilishaji wa Maabara

Idara imejitahidi kusimamia ujenzi wa maabara katika shule zote 36, kama ambavyo iliagizwa na Mh. Rais wa awamu iliyopita. Ambapo jumla ya vyumba vya maabara vilivyotakiwa ni 108. Kwa sasa vyumba ambavyo havijakamilika ni vinne (04), vyumba vilivyokamilika ni 104. Ambayo havijakamilika ni katika shule za sekondari Lugulu na Masheko ambazo zote ni shule mpya. Aidha katika baadhi ya shule samani za maabara hazijakamili pia bado kuna upungufu wa vifaa vya ufundishiaji na ujifunzaji kwa masomo ya sayansi.

3.7 Mikakati ya Ukamilishaji

Mikakati iliyopo katika kukamilisha ujenzi wa maabara hizo ni;

  1. WDC kupitia     vikao vyao wameagizwa kuwa ukamilishaji wa ujenzi wa vyumba vya maabara     iwe agenda ya vikao vyao kila wanapokutana.
  2. Wananchi kuendelea kuchangia michango ya     fedha/vifaa vya ujenzi ili kukamilisha ujenzi na kuweka samani katika     vyumba ambavyo bado havina samani.
  3. Wakuu wa shule kuendelea kununua vifaa vya     kufundishia masomo ya sayansi kupita fedha ya ruzuku ya uendeshaji ambayo     hutolewa na serikali kila mwezi.

3.8  Utoaji Wa Chakula Cha Mchana Kwa Wanafunzi wa Kutwa

Hali ya utoaji chakula katika shule za kutwa za serikali kwa sasa siyo nzuri, baada ya tangazo la Elimu bila malipo ambapo shule zote za sekondari zilikuwa zinatoa chakula cha mchana. Aidha, kwasasa idadi ya wanafunzi wanaopata chakula cha mchana ni kama ifuatavyo;  wanafunzi 8445 wanapata chakula na ambao hawapati chakula ni 6916.

Aidha, ofisi imepokea waraka wa Elimu Na. 3 wa mwaka 2016, ambao unawataka wajumbe wa bodi na wazazi kuhakikisha wanafunzi wote wa shule za sekondari za kutwa wanapata chakula cha mchana. Waraka huu umeshapelekwa shuleni kwa ajili ya utekelezaji.  Kama ilivyoelezwa katika kifungu cha 3.7 kamati / bodi za shule za serikali (iii) kushirikiana na wazazi/jamii kuweka utaratibu wa chakula cha mchana au chakula na huduma za hosteli katika shule za kutwa kulingana na mazingira yao, na kutuma mapendekezo kwa MkurugenziMtendaji wa Halmashauri.

 

 

3.9 Mikakati Ya Kudhibiti Utoro Na Mimba Shuleni

Hali ya utoro limekuwa tatizo sugu kwa baadhi ya wanafunzi, hii ni kutokana na baadhi ya wanafunzi kushiriki katika biashara za kuendesha boda boda na shughuli nyingine zinazofanywa na wazazi / walezi.

  1. Watendaji kata na Waratibu Elimu Kata na Wakuu wa     shule wameandikiwa barua kuwachukulia hatua za kisheria wzazi/walezi ambao     aidha kwa kujua au kuto jua watoto wao hawahudhurii masomo bila sababu     zozote.  Barua zilizo andikwa ni za     tarehe 02/06/2016 yenye Kumb. Na. WS/EL/UT.I7/VOL.VI/133. Barua ya     waratibu Elimu Kata yenye Kumb. Na.     WS/EL/UT.17/VOL.180 ya tarehe 22/08/ 2016
  2. Watendaji kata kuwa wachukulia hatua na     kuwafungulia kesi Mahakamani wale wote wanaobainika kuwapa mimba wanafunzi.     
  3. Jamii imehamasishwa kujenga hosteli kwa ajili ya     wanafunzi wanaotembea umbali mrefu, ili wanafunzi wake wakae katika     mabweni rafiki yanayoendeshwa na wazazi.
  4. Walimu kuendelea kutoa ushauri nasaha na unasihi     kwa wanafunzi ili wasome kwa bidii bila kuathiriwa na mazingira ya nje ya     shule. 

Kupitia vikao vya bodi, wazazi /walezi, jamii kutoa malezi mfungamano, basipo kuangalia na kubagua watoto ili kuboresha nidhamu na kuwajengea uwezo wa kujitambua kama sehemu ya jamii wanayoishi.

 

 

 

 

 

 

 

 

Jedwali 3.6: Taarifa za Wanafunzi Watoro, Waliopata Mimba, Waliohama Na Kuhamia pamoja na Wanaopata na Wasiopata Chakula

                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                             
 

S/N

 
 

SHULE

 
 

MIMBA

 
 

WATORO

 
 

WALIOHAMA

 
 

WALIOHAMIA

 
 

WANAOPATA CHAKULA

 
 

WASIOPATA CHAKULA

 


 

ME

 
 

KE

 
 

JML

 
 

ME

 
 

KE

 
 

JML

 
 

ME

 
 

KE

 
 

JML

 

 

1

 
 

BANGALALA

 
 

4

 
 

6

 
 

7

 
 

13

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

106

 
 

81

 

 

2

 
 

BEMKO

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

408

 
 

0

 

 

3

 
 

BOMBO 

 
 

2

 
 

3

 
 

4

 
 

7

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

46

 
 

310

 

 

4

 
 

CHALAO

 
 

3

 
 

3

 
 

2

 
 

5

 
 

2

 
 

3

 
 

 

 
 

3

 
 

0

 
 

3

 
 

539

 
 

0

 

 

5

 
 

CHANJAGAA

 
 

1

 
 

3

 
 

5

 
 

8

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

100

 
 

112

 

 

6

 
 

GONJA

 
 

3

 
 

27

 
 

9

 
 

36

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

835

 

 

7

 
 

KASEMPOMBE

 
 

2

 
 

10

 
 

8

 
 

18

 
 

4

 
 

2

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

180

 
 

171

 

 

8

 
 

KAZITA 

 
 

3

 
 

3

 
 

2

 
 

5

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

183

 
 

0

 

 

9

 
 

KIBACHA

 
 

2

 
 

13

 
 

15

 
 

28

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

765

 
 

0

 

 

10

 
 

KIGANGO

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

160

 
 

0

 

 

11

 
 

KIHURIO

 
 

2

 
 

2

 
 

4

 
 

6

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

193

 
 

349

 

 

12

 
 

KIMALA

 
 

1

 
 

7

 
 

9

 
 

16

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

491

 
 

0

 

 

13

 
 

KIRANGARE

 
 

1

 
 

4

 
 

2

 
 

6

 
 

4

 
 

1

 
 

0

 
 

0

 
 

6

 
 

0

 
 

50

 
 

363

 

 

14

 
 

KISIWANI

 
 

4

 
 

2

 
 

0

 
 

2

 
 

2

 
 

0

 
 

0

 
 

3

 
 

3

 
 

6

 
 

730

 
 

0

 

 

15

 
 

KWAKOKO

 
 

4

 
 

7

 
 

10

 
 

17

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

405

 
 

0

 

 

16

 
 

KWIZU

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

1

 
 

0

 
 

1

 
 

1

 
 

0

 
 

1

 
 

375

 
 

0

 

 

17

 
 

LUGULU

 
 

3

 
 

2

 
 

2

 
 

4

 
 

13

 
 

26

 
 

39

 
 

11

 
 

18

 
 

29

 
 

78

 
 

124

 

 

18

 
 

MABILIONI

 
 

1

 
 

2

 
 

1

 
 

3

 
 

2

 
 

7

 
 

9

 
 

2

 
 

16

 
 

18

 
 

140

 
 

306

 

 

19

 
 

MADIVENI

 
 

1

 
 

11

 
 

18

 
 

29

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

300

 
 

0

 

 

20

 
 

MAKANYA

 
 

1

 
 

13

 
 

6

 
 

19

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

497

 
 

0

 

 

21

 
 

MALINDI

 
 

0

 
 

2

 
 

0

 
 

2

 
 

1

 
 

1

 
 

2

 
 

2

 
 

0

 
 

2

 
 

153

 
 

117

 

 

22

 
 

MASHEKO

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

130

 
 

75

 

 

23

 
 

MKOMBOZI

 
 

3

 
 

22

 
 

0

 
 

22

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

48

 
 

1091

 

 

24

 
 

MOIPO

 
 

1

 
 

23

 
 

12

 
 

35

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

219

 
 

143

 

 

25

 
 

MTII

 
 

3

 
 

3

 
 

2

 
 

5

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

100

 
 

213

 

 

26

 
 

MVUREKONGEI

 
 

4

 
 

2

 
 

3

 
 

5

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

184

 

 

27

 
 

MYAMBA

 
 

0

 
 

1

 
 

0

 
 

1

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

245

 
 

321

 

 

28

 
 

NDUNGU

 
 

3

 
 

4

 
 

0

 
 

4

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

687

 

 

29

 
 

NTENGA

 
 

2

 
 

2

 
 

4

 
 

6

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

618

 

 

30

 
 

PARENI

 
 

2

 
 

1

 
 

2

 
 

3

 
 

3

 
 

4

 
 

7

 
 

0

 
 

0

 
 

 

 
 

274

 
 

0

 

 

31

 
 

SAME 

 
 

0

 
 

2

 
 

0

 
 

2

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

756

 
 

0

 

 

32

 
 

SAWENI

 
 

0

 
 

6

 
 

12

 
 

18

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

252

 
 

0

 

 

33

 
 

TAE

 
 

0

 
 

6

 
 

8

 
 

14

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

145

 
 

72

 

 

34

 
 

VUDEE

 
 

1

 
 

6

 
 

4

 
 

10

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

198

 
 

58

 

 

35

 
 

VUMARI

 
 

0

 
 

7

 
 

8

 
 

15

 
 

6

 
 

4

 
 

10

 
 

4

 
 

5

 
 

9

 
 

96

 
 

459

 

 

36

 
 

VUNTA

 
 

0

 
 

9

 
 

5

 
 

14

 
 

0

 
 

2

 
 

2

 
 

0

 
 

0

 
 

0

 
 

83

 
 

227

 

 

 

 
 

JUMLA

 
 

57

 
 

214

 
 

164

 
 

378

 
 

38

 
 

50

 
 

88

 
 

26

 
 

48

 
 

68

 
 

8445

 
 

6916

 

4.0              IDARA YA MAJI

4.1              Upatikanaji wa Huduma ya maji 

Upatikanaji wa maji vijijini ni 70% na Vijiji vyenye maji ni 75

4.2 Mpango uliopo kwa mji wa Same

Mradi wa Maji wa Same – Mwanga – Korogwe unalenga kuhudumia watu 456,931 ifikapo mwaka 2038 katika Wilaya za Same (watu 264,793), Mwanga (watu 177,085) na watu 15,053 katika Wilaya ya Korogwe, kwenye vijiji 38 na miji ya Same na Mwanga. Mifugo na viwanda vidogo pia vitanufaika na mradi huu.

 Katika Vijiji 38 vitakavyonufaika Vijiji vya Same ni Hedaru, Mabilioni, Gavao, Makanya, Mgwasi, Bangalala, Chajo, Mwembe, Njoro, Ishinde, Ruvu Mferejini, Ruvu Jiungeni, Majengo, Bendera, Mkonga Ijinyu, Mgandu (vijiji 16 katika Wilaya ya Same) 

4.3 Utekelezaji wa Mradi

  1. Kwasasa awamu ya kwanza imeshaanza ambayo ni ujenzi     wa wa chanzo na mitambo ya kutibu maji eneo la nyumba ya mungu (     Kisangara) na itakamilika ifikapo may 2017

      ii.            Awamu ya nne ambayo ni kulete maji katika Mji wa Same, Mkandarasi ameshapatikana, anaitwa Badri East Africa Limited na alishafika eneo la kazi kujitambulisha. Ataanza kazi mara baada ya kusaini Mkataba na kulipwa malipo ya awali. Pia ataweka kambi (Camp Site) maeneo ya Same Mjini na Kijiji cha Njoro. Gharama za awamu hii ni  USD 52 milion sawa na shilingi 104 bilioni


5.0              KITENGO CHA ARDHI

Sekta ya ardhi ni mojawapo ya sekta iliyopo chini ya idara ya ardhi na maliasili inayosimamia masuala yote ya ardhi. Sekta ina sehemu 4 ambazo ni ardhi utawala, mipango miji, upimaji na ramani na uthamini. Idadi ya Vijiji vilivyopimiwa Ardhi, Idadi ya Vijiji vilivyofanyiwa Matumizi bora ya Ardhi, Idadi ya Migogoro Sugu ya Ardhi Mjini na Vijiji, Sababu za kutokea kwa Migogoro ya Ardhi na kusababisha migogoro hiyo kuwepo kwa muda mrefu, Mipango/Mikakati ya kumaliza Migogoro ya Ardhi, Mipango/Mikakati ya kuboresha Mji/Master plan, Hali ya Ukusanyaji wa Kodi za Viwanja na Nyumba pamoja na Idadi ya Miji yenye Sifa ya kuwa Miji Midogo ni kama ilivyoainishwa katika jedwali hapa chini;

 

 


Jedwali 5.1: Hali ya Utekelezaji wa Shughuli za Kitengo cha Ardhi

                                                   
 

S/N

 
 

VIJIJI  VILIVYOPIMWA

 
 

VIJIJI  VILIVYOGAWANYIKA

 
 

VIJIJI  VYENYE MATUMIZI BORA YA ARDHI

 
 

MIGOGORO  SUGU

 
 

MIGOGORO  YA KAWAIDA

 
 

SABABU ZA  MIGOGORO

 
 

MIKAKATI  YA KUMALIZA MIGOGORO

 
 

MIPANGO  YA KUBORESHA MJI

 
 

UKUSANYAJI  WA KODI ZA ARDHI/MAJENGO

 
 

MIJI  YENYE SIFA YA KUWA MIJI MIDOGO

 
 

1

 
 

Halmashauri ya Wilaya ya  Same ina jumla ya vijiji 100 kati ya Vijiji hivyo vilivyopimwa vilikuwa ni  vijiji  84, kati ya vilivyokuwa  vimepimwa vijiji saba (7) vimegawanyika kati ya Vijiji hivyo sasa  vilivyogawanyika vimezaliwa Vijiji 16

 
 

-Chajo kimegawanyika  na kuwa Kijiji cha Chajo na Nasuro.

 

-Tae  kimegawanyika na kuwa Kijiji cha Tae, Heikonti  na Rikweni.

 

-Njoro  kimegawanyika na kuwa Kijiji cha Njoro na Emuguri.

 

-Gavao Saweni  kimegawanyika na kuwa Kijiji cha Gavao Ngarito na Saweni.

 

-Mabilioni kimegawanyika  na kuwa Kijiji cha Mabilioni, Ruvu mbuyuni na Chekereli.-Hedaru kimegawanyika na kuwa Kijiji cha Hedaru, Kijomu na  Gundusine. Bangalala kimegawanyika  na kuwa Kijiji cha Bangalala na Mkanyeni.

 
 

Duma, Lugulu, Kanza na  Mtii, Makanya, Hedaru na Gavao Saweni.

 

 

 

Kutokana na ufinyu wa  bajeti Halmashauri imefanikiwa kuandaa mpango wa matumizi bora ya ardhi ya  vijiji saba (7) kupitia ufadhili wa wadau wa maendeleo kama TFCG na Ongawa.

 
 

-Kijiji cha Makanya na  Ruvu

 

 

 

- Kijiji cha Mgwasi na  Makanya, 

 

 

 

Kitongoji cha Kavambughu  Ishinde. 

 

 

 

-Maore na Mheza.

 

 

 

-Migogoro ya wakulima na  wafugaji kata ya Ruvu.

 
 

Migogoro ya kawaida  haiwezi kuhesabika kwani huibuka na kupatiwa ufumbuzi.

 

 

 

Baadhi ya wananchi wanadai  kuchukuliwa maeneo yao bila kulipwa fidia.

 
 

Kukosewa mipaka ya vijiji  katika ramani zilizopimwa na Wizara ya Ardhi

 

Wananchi kujenga bila  vibali vya ujenzi kutoka mamlaka husika.

 
 

Kukagua vijiji vyenye  migogoro ya mipaka na kuiandikia Wizara barua ili waje warekebishe mipaka  hiyo. 

 

Kuandaa mipango ya  matumizi bora ya ardhi ili kumaliza migogoro ya wakulima na wafugaji.

 

 

 

Kubaini na kuhakiki  uhalali wa madai ya wananchi ambao wanadai maeneo yao kuchukuliwa bila  kulipwa fidia.

 

Halmashauri  kutafuta eneo kwa ajili ya kulipima ili  kuwafidia wananchi hao. 

 
 

Maandalizi yanafanyika ili  kutenga fedha katika bajeti ijayo ili kuandaa master plan (Mpango kamambe) wa  mji wa Same.

 
 

Ukusanyaji wa kodi za  ardhi unaendelea vizuri. 

 

Kodi ya majengo ndani ya  Mamlaka ya Mji mdogo hukusanywa na mamlaka ya   Mji mdogo wa Same kama mapato ya ndani.

 
 

Katika Halmashauri ya  Wilaya ya Same ipo miji ya kibiashara ambayo inakuwa kwa kasi na ina sifa ya  kuwa miji midogo ambayo ni Hedaru,

 

 

 

Makanya, 

 

 

 

Kisiwani, 

 

 

 

Maore na 

 

 

 

Ndungu.

 

Chanzo: Kitengo cha Ardhi


6.0              IDARA YA KILIMO

6.1              Eneo la  Kilimo na Mazao yanayolimwa

Eneo linalofaa kwa shughuli za kilimo katika Wilaya ya Same linakadiriwa kuwa na jumla ya hekta 45,000. Eneo linalofaa kwa kilimo cha umwagiliaji ni takriban hekta 20,000 ambazo kati ya hizo ni hekta 12,200 zinazotumika kwa umwagiliaji wa kisasa na wa asili. 

 

Fursa zilizopo Wilayani kwa ajili ya shughuli za kilimo ni pamoja na kuwa na bonde zuri lenye maji ya mito upande wa Same Mashariki ukanda wa tambarare. Eneo hili lina Skimu za umwagiliaji ambapo mazao mbalimbali ya chakula na biashara huzalishwa kama vile Mpunga, mahindi, maharage na mbogamboga. Upande wa Magharibi hutegemea zaidi Mto Pangani ambapo kuna kilimo cha umwagiliaji wa mazao ya mahindi, mpunga na mbogamboga. Upande huu ndio wenye eneo kubwa la malisho kwa upande wa ufugaji. 

Mazao ya biashara yanayolimwa katika Wilaya yetu ni Tangawizi, Pamba, Fiwi na Kahawa, na Iliki. Mazao ya chakula ni pamoja na mahindi, mpunga na mtama. Mazao aina ya mikunde ni pamoja na maharage na fiwi, mazao mengine ni viazi vikuu, viazi mviringo na mihogo. Aidha Wilaya inazalisha pia aina kadhaa za mbogamboga na matunda ikiwemo ndizi, matango, tikitimaji, na nyanya.

 

6.2              Malengo ya Kilimo na Matarajio ya mavuno

Wilaya hii ni mojawapo ya Wilaya zinazokabiliwa na upungufu wa chakula mara kwa mara. Hali hii inasababishwa na mvua chache zinazosababishwa na mabadiliko ya tabia nchi ambayo huathiri ustawi wa mazao ya kilimo hasa maeneo ya tambarare. 

Katika msimu wa kilimo wa mwaka 2016/2017 halmashauri ya wilaya ya same imeweka malengo ya kulima hekta 39,700 ambapo kiasi cha tani 208,297 cha mazao mbalimbali kinatarajiwa kuzalishwa, ambapo tani 155,668 ni mazao ya chakula, tani 3,289 ni mazao ya biashara, tani 26,403 ni mbogamboga, tani 7,440 ni matunda na tani 15,506 ni Viungo.

 

 

 

 

 

 

 

 

               Jedwali 6.1: Malengo ya kilimo na utekelezaji wa mazao muhimu  

                                                                                                                                                                                                                                                                                                           

 

2015/2016

 
 

2016/2017

 
 

LENGO

 
 

UTEKELEZAJI

 
 

LENGO

 
 

Ha

 
 

Tani

 
 

Ha

 
 

Tani

 
 

Ha

 
 

Tani

 
 

MAZAO YA CHAKULA

 
 

Mahindi

 
 

20,500

 
 

48,000

 
 

19,781

 
 

63,299

 
 

15,200

 
 

50,000

 
 

Mpunga

 
 

3,200

 
 

19,200

 
 

3,300

 
 

16,500

 
 

3,200

 
 

24,000

 
 

Mtama

 
 

500

 
 

500

 
 

100

 
 

80

 
 

500

 
 

800

 
 

Maharage

 
 

1,500

 
 

1,320

 
 

1,250

 
 

1,100

 
 

1,500

 
 

1,400

 
 

Muhogo

 
 

3,140

 
 

31,400

 
 

3,140

 
 

29,400

 
 

3,140

 
 

32,000

 
 

Ndizi

 
 

3,200

 
 

32,000

 
 

3,200

 
 

31,100

 
 

3,200

 
 

32,000

 
 

Viazi Vitamu

 
 

600

 
 

3,000

 
 

550

 
 

2,750

 
 

600

 
 

3,000

 
 

Viazi Mviringo

 
 

350

 
 

3,500

 
 

300

 
 

3,000

 
 

350

 
 

3,500

 
 

JUMLA

 
 

32,990

 
 

138,920

 
 

31,621

 
 

147,229

 
 

27,690

 
 

146,700

 
 

MAZAO YA BIASHARA

 
 

Pamba

 
 

80

 
 

120

 
 

50

 
 

60

 
 

80

 
 

120

 
 

Tangawizi

 
 

1,200

 
 

13,500

 
 

1,250

 
 

14,500

 
 

1,350

 
 

15,500

 
 

Kahawa

 
 

1,650

 
 

660

 
 

1,500

 
 

320

 
 

1,650

 
 

660

 
 

Fiwi

 
 

4,000

 
 

8,000

 
 

3,500

 
 

5,250

 
 

4,200

 
 

8000

 
 

JUMLA

 
 

6,930

 
 

22,280

 
 

6,300

 
 

20,130

 
 

7,280

 
 

24,280

 

                Chanzo: Idara ya Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika

6.3 Hali ya Chakula na mikakati ya kumaliza njaa

Kwa mwaka 2015/16 hali ya chakula Wilayani Same ilikuwa ya kuridhisha kutokana na mvua kunyesha kiasi cha kutosha. Kimsingi mahitaji ya chakula (nafaka) kwa mwaka ni tani 81,101 ambapo kila mtu mzima anastahili kiasi kisichopungua gunia 3 za mahindi kwa mwaka, makadirio haya ni kutokana na idadi ya watu iliyopo ndani ya Wilaya (Watu 269,807), na hii ni kwa mujibu wa Sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012.  Uzalishaji wa chakula katika maeneo ya skimu za umwagiliaji za Ndungu, Maore, Kisiwani na sehemu za Kata ya Bendera nao umeongezeka kutokana na jitihada kubwa zilizofanyika za kuongeza uzalishaji katika maeneo ya umwagiliaji.

6.4  Mipango ya Wilaya  wa kuongeza uzalishaji na kabiliana na upungufu wa chakula

·      Kuhakikisha elimu ya uvunaji maji ya mvua, matumizi bora ya maji  na hifadhi ya ardhi na udongo imetolewa kwa wakulima.

·      Kutoa elimu kwa wakulima juu ya kuzuia/kupunguza upotevu wa

     mazao ya nafaka na mikunde wakati wa kuvuna na kuhifadhi    

     (Post harvest loss handling).

·      Kuhakikisha elimu ya ukadiriaji wa mahitaji ya mazao ya chakula kwa wakulima ngazi ya kaya imetolewa.

·      Kutoa elimu kwa wakulima juu ya hifadhi na matumizi bora ya mazao ya chakula kwa maeneo ambayo yamepata mavuno mazuri msimu wa vuli hasa maeneo ya kilimo cha umwagiliaji.

·      Kutoa ushauri kwa wakulima kutekeleza kilimo cha mazaoyanayostahimili ukame na yanayotumia kiasi kidogo cha unyevu hadi kukomaa kama  mazao jamii ya mizizi na mikunde na Mtama.

·      Kuhakikisha uimarishaji wa matumizi bora ya maji katika  miundombinu ya umwagiliaji iliyopo na kuhakikisha kunakuwepo na ongezeko la uzalishaji wa mazao ya chakula kwa misimu miwili na wakulima wanazingatia ushauri wa wataalam waliopo vijijini.

·      Kwa kuwatumia Maafisa Ugani waliopo kuhakikisha wakulima wanatumia teknolojia bora na sahihi za uzalishaji mazao ya chakula na biashara kwa ajili ya uhakika na usalama wa chakula ngazi ya kaya.

·      Kuhimiza wafugaji walio na mifugo kuuza wakati bado ikiwa na hali nzuri ya kiafya na kununua chakula na kuhifadhi kwa ajili ya matumizi ya familia.

·      Kuhimiza wakulima waliopo maeneo ya umwagiliaji kulima mazao yenye thamani na ubora kwa uhakika wa kuongeza kipato hatimaye kumudu kujinunulia chakula cha kutosha.

·      Kuhamasisha wafanyabiashara wenye uwezo  kununua chakula Katika maeneo yenye chakula cha ziada na kuleta kuuza katika maeneo yenye upungufu kwa bei nafuu/elekezi.

 

 

 

 

6.5  Mikakati ya mnyororo wa thamani wa mazao

Halmashauri ya Wilaya iliteua kuendeleza mnyororo wa thamani kwa mazao mawili ya biashara ambayo ni Tangawizi na Mpunga.

 

Kwa zao la tangawizi Halamashauri ikishirikia na wadau wengine imekuwa na mikakati ya kuboresha miundo mbinu ya umwagiliaji katika maeneo yanayozalisha tangawizi ili kuimarisha kilimo cha umwagiliaji kwa zao hilo. Vilevile kwa kupitia mradi wa MIVARF Halmashauri imekuwa na mikakati ya kuboresha miundo mbinu ya mawasiliano katika maeneo yanayolimwa zao hilo, pia kujengea uwezo wakulima wa tangawizi kwa kuwapa mafunzo ya kilimo bora cha tangawizi na kuwaunganisha na masoko.

Kwa zao la mpunga Halmashauri imekua na mikakati ya kuboresha miundo mbinu ya umwagiliaji katika maeneo yanayolimwa mpunga na kutoa mafunzo kwa wakulima wa mpunga kwa kuanzisha mashamba ya mfano na mashamba darasa. Aidha Halmashauri imekua na mikakati ya kufufua na kuhakikisha kinu cha kukoboa mpunga katika skimu ya Ndungu kinafanya kazi ili kuongeza thamani ya zao la mpunga.

 

6.6  Uendelezaji viwanda

6.6.1 Kiwanda cha Tangawizi

Wilaya ya Same ni miongoni mwa Wilaya zinazozalisha Tangawizi kwa wingi hapa nchini, ambapo inakadiriwa kuwa zaidi ya tani 14,500 zinazalishwa kila mwaka. Wakulima wengi hasa wa maeneo ya milimani hutegemea na kutumia zao hili kama zao la biashara. Kutokana na hali hiyo Ushirika wa wakulima wa Tangawizi Mamba Myamba uliamua kujenga kiwanda ili kuongeza thamani ya zao la Tangawizi. Kiwanda kilizinduliwa na Mhe. Rais Mstaafu mnamo mwaka 2012. Baada ya kuzinduliwa kiwanda kiliweza kusindika zaidi ya tani 100 za Tangawizi na kuziuza.

Katika uendeshaji baadhi ya mitambo ilieonekana kutofanya kazi vizuri na hivyo kuhitaji kuboreshwa. Hali hii ilipelekea kiwanda kusimama kwa muda na hivyo Shirika la SIDO wametakiwa kutengeneza na kuirekebisha mitambo hiyo.  SIDO ndio waliosanifu na kutengeneza mitambo yote ya kiwanda hicho na wanaendelea kushirikiana na ushirika pale mitambo inapoleta hitilafu.

Soko la Tangawizi mbichi na iliyosindikwa lipo la kutosha nje na ndani ya nchi. Serikali kupitia Mradi wa uboreshaji miundo mbinu ya masoko na uongezaji thamani (MIVARF) kwa kushirikiana na Shirika la Faida Mali inaendelea kusaidia ushirika huo kutafuta na kuwaunganisha na masoko ya uhakika. Tayari masoko yafuatayo yameshapatikana Kampuni ya Afri Tea, kampuni ya Tausi, TAQWA, Kampuni ya India market na Kampuni ya lion wattle.  Wanunuzi waliopatikana wapo tayari kununua tangawizi iliyosindikwa mara tu kiwanda kitakapoanza tena kufanya kazi.Kwa sasa bei ya Tangawizi ni Tshs. 1300 – 1500 kwa kilo ya tangawizi mbichi.

Zipo Changamoto za msingi zinazokabili ushirika kwa sasa, ambazo zinasababisha kiwanda kisifanye kazi vizuri. Changamoto hizo ni pamoja Uelewa mdogowa viongozi wa ushirika waliopo kwa sasa juu ya usimamizi na uendeshaji wa kiwanda, na Ukosefu wa mtaji wa kutosha kununua malighafi (Tangawizimbichi) kuajiri na kulipa watumishi na kulipia gharama za uendeshaji.

Hatua zinaendelea kuchukuliwa ili kuhakikisha kiwanda kinafanya kazi vizuri. Hatua hizo ni pamoja na Kuimarisha na kujengea uwezo viongozi wa ushirika na wanachama ili kuweza kujipanga na kuepuka bei zisizokuwa na maslahi zinazopangwa na wafanyabiashara. Aidha mafunzo yametolewa juu ya usimamizi na utunzaji wa fedha ili baada ya kuwa na uelewa wa kutosha waweze kuomba na kupata mkopo kutoka kwenye taasisi za fedha na hatimaye kuendesha kiwanda. 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

7.0              KITENGO CHA MALIASILI NA MAZINGIRA

7.1              Maliasili zilizopo Wilayani

7.1.1 Misitu Iliyopo

Wilaya ya Same ina jumla ya hakari 256,503 za misitu ambayo ni sawa na asilimia 20.3 (20.3%) ya eneo lote la Wilaya ya Same ambalo ni Kilomita za mraba 5,186 (5,186Km2). Misitu hii ni ya aina mbalimbali kama kama misitu ya Kupandwa, Mataji wazi (Miombo Woodland), Hifadhi za Serikali (Cathment Forests), Hifadhi za Vijiji na Hifadhi za kimila (Itasio).

7.1.2 Wanyamapori

Kitengo cha wanyamapori kina dhamana ya kuhifadhi rasilimali wanyamapori iliyoko kwenye maeneo ya wazi yenye wanyamapori kama vile Ruvu, kuwarudisha wanyamapori watoka nje ya na hifadhi ya taifa ya Mkomazi. Maeneo yaliyohifadhiwa yanachangia uhifadhi wa bioanuai mbalimbali ili zisitoweke kama vile tembo, nyani, kiboko, nyati, simba, mbwa mwitu pamoja na aina mbalimbali za ndege.

7.2              Utunzaji wa Maliasili zilizopo Wilayani

Wilaya ya Same ina jumla ya Misitu ya Hifadhi 17 ambayo kati ya misitu hiyo, Misitu minne (4) ipo chini ya Serikali kuu, Misitu tisa (9) chini ya Halmashauri na Misitu (4) ipo chini ya Vijiji. 

Usimamzi wake unategemea na mmiliki ambapo Misitu ya Serikali kuu husimamiwa na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), Misitu ya halmashauri husimiwa na Halmashauri ya Wilaya kupitia Kitengo cha Maliasili na Misitu ya Vijiji inasimamiwa na Vijiji kupitia Kamati za Maliasili za Vijiji. Misitu hii husimamiwa kupitia mipango ya usimamizi ya misitu husika ambapo shughuli za Doria, Upandaji wa Misitu, kulinda mipaka ya hifadhi na kuzuia matukio ya moto hufanyika.

Kitengo hiki kinatunza rasilimali wanyamapori kwa kuwalinda dhidi ya majangili kwa kufanya doria mara kwa mara kwenye maeneo yenye wanyamapori  ili kuwalinda dhidi na ujangili.  Rasilimali hii pia inatunzwa kwa kuhakikisha kuna udhibiti na usimamizi wa umilikaji wa nyara kama vile kutoa kibali kwenye ukamataji wa ndege kama vile kanga. 

Endapo wanyamapori watatoka nje ya hifadhi ya taifa ya Mkomazi au maeneo ya wazi na kwenda kwenye makazi na mashamba ya wananchi, ni jukumu la watumishi wa kitengo cha wanyamapori kuwarudisha kwenye hifadhi.

Pia hufanyika udhibiti wa wanyamapori waharibifu hususani viboko ambao huvamia maeneo ya wananchi na wakati mwingine kusababisha vifo au madhara kwa watu na mazao mashambani kwa kuwarudisha katika makazi yao. Aidha kumekuwa pia na udhibiti wa wanyamapori kama tembo na simba wanaotoka katika hifadhi ya taifa Mkomazi. Zoezi la kuwarudisha hifadhini hufanyika haraka iwezekanavyo ili wasilete madhara kwa wananchi na mali zao. Viongozi wa kata au vijiji husika huimizwa kutoa taarifa pindi wanyamapori hao watakapoonekana katika maeneo yao. Pia elimu dhidi ya kujikinga na wanyamapori hao hatari kwa mali na uhai wa wananchi hutolewa kwa wananchi ili kuwasaidia katika kujikinga na wanyamapori hao na kutoa taarifa katika Idara ya Ardhi na Maliasili.

7.3              Jinsi Maliasili zilizopo Wilayani zinavyochangia Uchumi

Misitu huchangia uchumi kupitia mapato yanayokusanywa na Halmashauri ya Wilaya na Serikali kuu kutokana na tozo mbalimbali za mazao ya misitu na mazao yasiyo ya misitu lakini yanayopatikana ndani ya misitu mfani ukindu. Tozo zinazokusanywa na Halmashauri ni zile zitokanazo na mbao, nguzo za umeme, simu na za kujengea, magome ya miti na mizizi kwa ajili ya dawa mbalimbali. Tozo zinazokusanywa na Serikali kuu ni zile za Usajili wa Biashara ya mazao ya misitu, kibali cha kusafirishia mazao ya misitu (Transit Pass) na mrahaba wa mazao ya misitu yaliyovunwa katika misitu ya asili.

Rasilimali hii inachangia kwenye uchumi kwa kutoa kibali cha ukamaji wa wanyamapori kama vile ndege aina ya kanga kwenye maeneo ya wazi yanayopatikana katika ya wilaya Same. . Kibali hicho kinatolewa na Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Idara ya Wanyamapori na kuidhinishwa na Mkurugenzi wa Wanyamapori na kumtaka Afisa Wanyamapori wa wilaya kumruhusu mdau huyo kukamata wanyama walioidhinishwa. Fungu la fedha lililotokana na ukamataji wa wanyamapori hao hugawiwa kwa Halmashauri husika.

Hata hivyo  maeneo ya wazi yaliyotengwa kwa ajili ya uhifadhi kama vile Pori Tengefu (Ruvu-Same Game Controlled Area) yanakabiliwa na uharibifu mkubwa kutokana na shughuli za kibinadamu  kama vile uvamizi wa mifugo na shughuli za kilimo na ujangili kwenye maeneo yaliyohifadhiwa  hivyo kusababisha kutokuwepo na wanyama wa kutosha kwa ajili ya shughuli za uwindaji ambazo zingeweza kuiletea halmashauri pato.

 

 

7.4                Upandaji wa Miti

Upandaji wa miti hufanyika kwa kuzingatia lengo la mwaka liliowekwa kwa kila Wilaya ambapo kwa Wilaya ya Same lengo la mwaka 2015/2016 lilikuwa ni kupanda miti 1,500,000. 

Aidha pamoja na zoezi la upandaji wa miti, uhamaishaji wa uanzishaji wa vitalu vya miti hufanyika kwa jamii ili kupata vyanzo vya miche kwa ajili ya kupanda. Mpaka sasa jumla ya vitalu vya miti 35 vimeanzishwa na jamii katika Kata za Hedaru, Vunta, Makanya, Maore, Kisiwani, Vumari, Mtii, Bombo na Myamba. Kitalu cha Halmashauri kilichopo Mwembe kina jumla ya miti 9,780. Jumla ya miti 1,351,763 imeshapandwa mpaka sasa ndani ya Wilaya kati ya miti 1,500,000 iliyotarajiwa kupandwa kwa Mwaka 2015/2016 sawa na asilimia 90.01 (90.01%).

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

8.0              IDARA YA UTAWALA NA UTUMISHI/RASILIMALI WATU

8.1              Idadi ya Watumishi waliopo kulingana na Ikama

 

 

 

 

 

8.2              Taarifa ya Watumishi Hewa

 

 

 

 

 

 

8.3              Kiasi cha Fedha zilizopoyea kutokana na Watumishi Hewa

 

 

 

 

 

 

 

8.4              Mikakati/Hatua zilizochukuliwa ili kurejesha Fedha zilizopotea kutokana na Watumishi Hewa

 

 

 

 

 

 

 

 

 

8.5              Matatizo ya Watumishi na Namna Yanavyoshughulikiwa

Tangu January 2016 hadi sasa kuna jumla ya Matatizo ya Watumishi...........yaliyoshughulikiwa na matatizo.......... yanaendelea kushughulikiwa

 

 

8.6              Hali ya Vikao vya Kisheria Ngazi ya Wilaya, Kata na Vijiji na Hatua za kuvisimamia

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

8.7              Hatua zinazochukuliwa kwa kutofanya Vikao

 

 

 

 

 

 

8.8              Motisha zilizopo kwa Watumishi/ Viongozi

 

 

 

 

 

 

 

 

8.9              Utowaji wa Mafunzo ya kuwajengea Uwezo Watumishi /Viongozi

 

 

 

 

 

 

 

8.10          Zana za Ufuatiliaji Watumishi kwa kila Idara

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Ø  KITENGO CHA SHERIA

8.1 Idadi ya Kesi

Halmashauri  ya Wilaya ya Same kama zilivyo Taasisi nyingine za kisheria ina uwezo wa kushitaki na kushitakiwa na katika kipindi cha 2015 hadi 2016 imekuwa na mashauri mbali mbali katika Mahakama ya Wilaya, Mahakama Kuu na Baraza la Ardhi na Nyumba Same.

·        Katika kipindi cha 2015 hadi 2016 Halmashauri imefungua kesi mbili  moja Baraza la Ardhi na Nyumba Same ambayo ni shauri la Madai kati ya Mamlaka ya  Mji Mdogo Same dhidi ya Helios Tower Infanco Tanzania Ltd na Mahakama Kuu Moshi ya Halmashauri ya Wilaya dhidi ya Eliwaha Mbaga na Wenzake. Kesi hizi ziko katika hatua za awali.

Katika kipindi cha 2015 hadi 2016 Halmashauri  imeshitakiwa katika Mahakama ya Wilaya, Mahakama Kuu na Baraza la Ardhi na Nyumba Same na jumla ya mashauri matano(5) yalifunguliwa dhidi yake. Mashauri dhidi ya Halmashauri ni ya Eiza Mkaze dhidi ya Halmashauri na Mwingine, Ramadhani Kanyama Msuya dhidi ya Halmashauri, Christina Elieskia na Miriam Kajiru dhidi ya Mkutugenzi Mtendaji Wilaya, Cheavo Johnson Kihara dhidi ya TANESCO na Halmashauri ya Wilaya na Octavius Leole dhidi ya Halmashauri ya Wilaya. Kesi hizi bado ziko kwenye hatua mbalambali za usikilizwaji na ya Christina na mwenzake imeamuliwa kwa njia ya usulihishi CMA na imerudishwa TSC kwa hatua zaidi

8.2  Mikakati ya kushinda Kesi na kuhakikisha Mikataba inakuwa na Tija kwa Halmashauri na Serikali

Halmashauri ya Wilaya ya Same kupitia Kitengo cha Sheria imejipanga kushinda katika kesi zote kwa kuhudhuria Mahakamani kufuatana na kalenda za Mahakama na kutoa ushahidi thabiti kwa mujibu wa sheria pia kushawishi utatuzi wa migogoro nje ya mahakama pale inapobidi kufanya hivyo ili kuepuka upotevu wa muda na rasilimali fedha.

Kitengo cha Sheria kinashughulika na uandaaji wa mikataba mbalimbali baina ya Halmashauri na wadau wake na vilavile kuandaa mikataba ya watumishi walioruhusiwa kwenda masomoni.

Katika hili Kitengo kinazingatia kanuni,taratibu na sheria za mikataba ili kuhakikisha kwamba mikataba yote inayiongiwa na Halmashauri ina tija kwa Serikali,wananchi na Halmashauri kwa ujumla.

 

8.3  Sheria Ndogondogo

Katika kipindi cha 2015 hadi 2016  Halmashauri kupitia Kitengo cha Sheria imeweza kuanda Sheria Ndogo 7 zitakazo saidia utekelezaji wa majukumu ya Halmashauri katika kuhudumia wananchi wa Wilaya ya Same. Sheria hizo ni Sheria Ndogo za Ushuru wa Mabasi Stendi, Sheria Ndogo ya Kudhibiti Unywaji Holela wa Vileo, Sheria Ndogo za Ushuru wa Pumba za Nafaka, Sheria Ndogo ya Kilimo cha Mazao yanayohimili Ukame, Sheria Ndogo ya Mahudhurio ya Lazima kwa Shule za Msingi na Sekondari, Sheria Ndogo za Ushuru wa Nyumba za Kulala Wageni na Sheria Ndogo ya Kuzuia Ujazaji wa Lumbesa. 

Katika kuhakikisha kwamba tunakuwa na jamii ya watu walio sawa na huru, Halmashauri ya Wilaya ya Same inashirikiana na Taasisi zisizo za kiserikali katika kutoa msaada wa kisheria kwa makundi mbalimbali ya kijamii katika wilaya ya Same.

IDARA YA MAENDELEO YA JAMII

.1      Mambo ya kufanya ili kuhakikisha Jamii inapata Maendeleo

Kinachofanyika na kinachotarajiwa kufanyika ili kuhakikisha jamii inapata maendeleo ni;

  1. Kuhamasisha jamii jamii  kushiriki katika kazi za maendeleo za     kujitegemea kama (misaragambo) ,katika      ujenzi  wa barabara, ofisi za     kata,zahanati, shule za msingi na sekondari,  uchangiaji wa madawati, na kujiunga     katika vikundi. 
  2. Kuhamasisha jamii kutumia teknolojia raisi katika     ujenzi wa nyumba bora na salama      zenye gharama nafuu, kwa kutumia      matofali fungamano. 
  3. Kuijengea jamii elimu ya ufahamu juu dhidi     ya   mila potofu kama vile, Ukeketaji,     ndoa za utotoni, kulazimisha kurithi wajane na zinginezo. 
  4. Kutoa elimu ya      ufahamu  kwa jamii  kuepuka maambukizi  mapya      ya VVU na UKIMWI, Kuacha      ngono zembe  matumizi     sahii  ya kondomu, dawa za ARV.
  5. Kuhamasisha jamii juu kupinga unyasasaji wa kijinsia,     kama vipigo, matusi, dharau na aina yoyote ya unyanyasaji.
  6. Kutoa elimu ya ufahamu kwa wazazi, walezi na     jamii kwa jumla kuwapa fursa sawa watoto wa jinsi katika kuwapa elimu na     kujiendeleza.
  7. Kutoa elimu     ya ufahamu kwa wazazi, walezi,  juu     ya kutumikishwa  kwa watoto,     kuwafanyisha kazi ngumu zilizozidi uwezo wao
  8. Kuhamasisha jamii kuwa na uelewa wa kupinga     matumizi mabaya ya madawa ya kulevya kama vile uvutaji bangi,na ulaji wa     mirungi.
  9. Kutoa elimu kwa jamii juu ya malezi bora kwa     vijana ili kuepusha ongezeko la makundi tete.
  10. Kushirkiana na watoan huduma za kiroho, lil kutoa     huduma kwa makundi ya rika zote katika kuepusha  kusitokee au kupunguza makosa ya jinai
  11. Kuhamasisha jamii ili kujiunga katika vikundi kwa     ajili ya kupatiwa mafunzo ya ujasiriamali.
  12. Kuhasisha jamii ili kujiunga na vikundi vidogo     vidogo vya kuweka na kukopa vijulikanavyo kama VICOBA.
  13. Kuhamasisha jamii ya makundi ya vijana na     wanawake kujiunga katika vikundi vya ujasiriamali kwa ajili ya kupatiwa     mikopo yenye mashariti nafuu.
  14. Kutoa elimu kwa jamii juu ya upimaji wa maeneo     yao kwa ajili ya matumizi bora yan ardhi na mipango miji, ili kuepusha     migogoro.
  15. Kuhamasisha wananchi juu Usafi wa mazingira,     ujenzi wa vyoo bora na matumizi yake ili kupusha magonjwa ya milipuka.

.2      Idadi ya Vikundi vyenye Nguvu

Idadi ya vikundi vilivyopata usajili na vyenye nguvu ya kuweza kupata mikopon katika taasisi za kifedha ni kama ilivyoanishwa hapa chini;

Jedwali 5.1 Idadi ya Vikundi vyenye Nguvu

                       
 

AINA  YA KIKUNDI

 
 

VIKUNDI  VYA VIJANA

 
 

VIKUDI  VYA WANAWAKE

 
 

VIKUNDI  VYA WAJASIRIAMALI

 
 

IDADI

 
 

387

 
 

678

 
 

475

 

 

 

  Chanzo: Idara ya Maendeleo ya Jamii

 

Jedwali 5.2: Idadi ya Vijana wasio na Kazi Maalum

                   
 

WANAWAKE

 
 

WANAUME

 
 

JUMA YA VIJANA  WASIOKUWA NAKAZI

 
 

246

 
 

223

 
 

469

 

Chanzo: Idara ya Maendeleo ya Jamii

 

 

 

.3      Mikakati ya Kuwaendeleza Vijana

v   Kuwahamasisha vijana   ili waweze kujiunga na masomo ya ufundi stadi kv   uashi useremala na ujenzi ili waweze kujiajiri

v   Kwahamasisha vijana kujiunga kwenye vikundi ili wapatiwe mkopo yenye mashariti nafuu

v   Kuwahamasisha vijana ili wajiunge kwenye makundi kwa ajili ya kupatiwa elimu juu ya ujasiriamali

v   Kuwatengea vijana maeneo maalum kwa ajili ya kufanyia biashara ndogo ndogo

v   Kuwahamasisha vijana kutumia elimu mbalimbali katika kuanzisha ufugaji wa kuku na  n g”ombe wa maziwa na nyama

v   Kuhamasiha vijana ili waweze kuanzisha viwanda vidovidogo kv, useremala uashi na ufndi vyuma.

5.       Idadi ya SACCOS/Vikoba

Idadi ya SACCOS na Vikoba ni kama ifuatavyo; 

Jedwali 5.3: Idadi ya SACCOS/Vikoba

                                                                                                           
 

S/N

 
 

JINA LA SACCOS

 
 

KATA/ENEO

 
 

MMILIKI

 
 

1 

 
 

SAME KAYA  SACCOS

 
 

WILAYA

 
 

WANANCHI/WANACHAMA

 
 

2

 
 

SAME TEACHERS  SACCOS

 
 

WILAYA

 
 

WAALIMU  WANACHAMA

 
 

3

 
 

KISIWANI  SACCOS

 
 

KISIWANI

 
 

WANACHAMA

 
 

4

 
 

MKONAPA SACCOS

 
 

VUMARI

 
 

WAFANYAKAZI/WANACHAMA

 
 

5

 
 

NASHENGENA  SACCOS

 
 

MAORE

 
 

WANACHAMA.

 
 

6

 
 

KURUGENZI  SACCOS

 
 

WILAYA

 
 

WAFANYAKAZI

 
 

7

 
 

MARANATHA  SACCOS

 
 

SAME

 
 

WAUMINI  WASABATO

 
 

8

 
 

GAHENDU

 
 

SAWENI

 
 

WANACHAMA WA  GAVAO, HEDARU, GUNDU.

 

Chanzo: Idara ya Maendeleo ya Jamii

 

o  Fedha za Vikundi toka Halmashauri katika bajeti ya 2015/2016 zilizopangwa, Kiasi cha Fedha kilichotolewa na Idadi ya Vikundi vilivyopewa

Fedha zilizopangwa kutolewa na Halimashauri kwa kipindi cha 2015/16 ni jumla ya TShs. 112,000,000/=  na zilizotolewa ni Tshs. 26,000,000/= na idadi ya vikundi vilivyopatiwa mikopo ni 14.

o  Fedha zilizopangwa katika Bajeti ya 2016/2017

Kwa upande wa Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2016/2017, Fedha zilipangwa kutolewa kwa kipindi cha 2016/17 ni Tsh. 146,000,000/=

6.      KITENGO CHA UKAGUZI WA NDANI

o  Idadi ya Hoja za Ukaguzi

Kwa kipindi kinachoishia mwezi Agosti, 2016, Halmashauri ilikuwa na hoja za ukaguzi 54 zinazohitaji majibu yatakayopelekea hoja hizo kufungwa.

o  Mikakati ya kupunguza Hoja za Ukaguzi

Uongozi wa halmashauri umeweka mikakati ili kupunguza hoja za ukaguzi, mikakati hiyo ni:-

                              I.            Kutumia mashine za elektroniki zinazowasiliana na makao makuu ya halmashauri kukusanyia mapato toka katika Kata, itasaidia kuhakikisha mapato yote yaliyokusanywa kufahamika na kuwasilishwa na kuondoa tatizo la upotevu/kutokuwasilishwa  wa vitabu vya kukusanyia mapato

                            II.            Kuendelea kuwasiliana na TAMISEMI , ili kuweza kupata wakuu wa Idara/au kuwathibitisha makaimu wakuu wa idara waliopo, hii itasaidia kupunguza madeni kwa wakuu wa idara wanaokaimu kwa muda mrefu

                        III.            Kuendelea kufuatilia uwepo wa watumishi hewa  kwa kufanya uhakiki wa watumishi kila mwezi

                        IV.            Kuongeza juhudi katika ukusanyaji wa mapato ya ndani na kuibua vyanzo vipya vya mapato ya ndani , na kuendelea kuwasiliana na Hazina /Serikali kuu ili iweze kuleta fedha kwa wakati kulingana na bajeti , hii itasaidia halmashauri kutekeleza kazi kulingana na bajeti na kuwa na uwezo wa kupeleka asilimia 10 ya mapato ya ndani yaliyokusanywa katika mfuko wa wanawake na vijana

                            V.            Kuendelea kufuatilia fedha za miradi  ya maendeleo ambazo hazijawasilishwa toka Hazina na kuomba fedha hizo kuwasilishwa kwa wakati

                        VI.            Kutenganisha thamani ya majengo na ardhi kwa kufanya uthaminishaji

                      VII.            Kuwaelekeza wakuu wa Idara/vitengo/watumishi kutekeleza majukumu kwa kufuata taratibu na sheria

                  VIII.            Kuimarisha mifumo ya udhibiti wa ndani katika usimamizi wa fedha/manunuzi/ubora

                        IX.            Kuhakikisha utekelezaji wa miradi unafanyika mapema mara fedha zinapowasili

                            X.            Kuimarisha Kitengo cha ukaguzi wa ndani kwa kuwajengea uwezo katika mifumo, mfano, mfumo wa ukusanyaji wa mapato kielektronic, LAWSON, EPICOR, PLAN REP.

o  Changamoto zinazosababisha kutokuisha kwa Hoja za Ukaguzi

                              I.            Upungufu wa mkaguzi mmoja kulingana na Ikama

                            II.            Kukosekana/kutokuwasilishwa kwa fedha , kumepelekea kaguzi kutofanyika kulingana na mpango wa ukaguzi wa mwaka 

                        XI.            Wakaguzi kutokujengewa uwezo kuhusiana na mifumo ya ukusanyaji wa mapato kielektronic, LAWSON, EPICOR, PLAN REP

7.      IDARA YA UJENZI

o  Idadi ya Miradi inayoendelea kutekelezwa

Katika mwaka wa fedha 2015/2016 idara ya ujenzi ilitengewa  kiasi cha Tshs 956,160, 000/= kutoka mfuko wa barabara (Road fund) hadi kufikia 30/06/2016 halmashauri imepokea kiasi cha Tsh 215,460, 000/= tu. Miradi inayoendelea kutekelezwa kwa kazi za barabara ni kama ifuatavyo:-

Jedwali 11.1: Idadi ya Miradi inayoendelea kutekelezwa

                                                                                                                             
 

Na.

 
 

Jina la mradi

 
 

Jina la Mkandarasi

 
 

Gharama ya Mkataba

 
 

Maoni

 
 

1

 
 

Matengenezo ya kawaida na  muda maalumu barabara za Makanya – Chankoko na Njia panda – Chankoko -  Mvungwe

 
 

 OLDONYOMAS ENGINEERING

 
 

 

 

105,577,550

 
 

 

 

 

 

Kazi zinaendelea

 
 

2.

 
 

Matengenezo ya kawaida  muda maalumu na miundo mbinu ya maji barabara za Mpirani -Kadando,Maore-  Vuje,Ndungu-Makokane na Mpirani-Bombo 

 
 

 

 

CORNEL (T) LTD

 
 

 

 

88,030,950

 
 

 

 

 

 

Kazi zinaendelea

 
 

3.

 
 

Matengenezo ya kawaida, sehemu  korofi na matengenezo ya muda maalumu barabara za Same -Ruvu-Mferejini na  Ishinde-Vumari.

 
 

CORNEL (T) LTD

 
 

 

 

77,881,180

 
 

 

 

Kazi zinaendelea

 
 

4.

 
 

Matengenezo ya  kawaida,sehemu korofi  na miundombinu  ya maji ya mvua barabara za Kisiwani -Msindo,Mwembe- Mhezi,Mbuyuni-Marindi  na   Ijinyu - Kamadufa 

 
 

 

 

MUGENZO CO. LTD

 
 

 

 

64,431,540

 
 

 

 

 

 

Kazi zinaendelea

 
 

5.

 
 

Matengenezo ya kawaida na  sehemu korofi barabara za  Saweni-Gavao  -Bwambo,Kidenge- Mwala na  Hedaru-  Makasa-Kirangare 

 
 

 

 

HAMORIC INVESTMENT (T) LTD

 
 

 

 

34,499,660

 
 

Kazi zinaendelea

 
 

6

 
 

Matengenezo ya kawaida na  miundombinu ya maji barabara za Majevu-Dido- Njoro, Minyala -Mbono-Mgagao na  dengude- Dido.

 
 

KIV CO.LTD

 
 

70,825,960

 
 

Kazi zinaendelea

 
 

7

 
 

Matengenezo ya kawaida  muda maalumu na miundo mbinu ya maji barabara za Same Mjini.

 
 

SIMJO TECH CO.LTD

 
 

128,118,500

 
 

Kazi zinaendelea

 
 

8

 
 

Matengenezo ya kawaida na  sehemu korofi barabara za  Bangalala  -Chome na Chome - Ikokoa 

 
 

MSHUNGA INVESTMENT LTD

 
 

22,774,000

 
 

Kazi zinaendelea

 

Chanzo: Idara ya Ujenzi

 

11.2 Ubora wa Miradi inayotekelezwa.

Miradi inayotekelezwa ipo katika ubora unaotakiwa kwa kuzingatia taratibu za mikataba.

11.3 Uhakiki kwa Wakandarasi wanaopatiwa Kazi/Tenda

Uhakiki wa wakandarasi wanaopatiwa kazi/tenda hufanyika kipindi cha kufanyiwa uchambuzi wa zabuni (Tender evaluation) wa wazabuni wanapoomba tenda/zabuni.

11.4 Ubora na Muda wa Ukamilishaji wa Miradi

Ubora wa kazi unazingatiwa na Mkandarasi kam hajakamilisha kazi kwa wakati anapata adhabu ya kuchelewesha kazi (liquidated damages)

11.5 Idadi ya Miradi ambayo haikukamilika kwa Wakati na sababu zilizopelekea 

Miradi yote haijakamilika kwa wakati kutokana na kuchelewa kupokea fedha kutoka serikali kuu. (Mfuko wa barabara)

11.6 Hali na urefu wa Mtandao wa Barabara

Hadi kufikia mwezi Juni mwaka 2016 Halmashauri ya wilaya ya Same ina mtandao wa Barabara wenye Jumla ya 668.63 Km zinazofanyiwa matengenezo kwa usimamizi wa Halmashauri kupitia kitengo cha barabara. Kati ya barabara hizo 0.8Km ni za lami ambazo zipo Same mjini,128 Km ni za changarawe na 539.83 Km ni za udongo.Asilimia 85 ya barabara ziko milimani na asilimia 15 ni za tambarare.


8.      IDARA YA FEDHA

12.1 Utangulizi

Halmashauri ya Wilaya ya Same kwa mwaka wa fedha 2015/2016 iliidhinishiwa  kupokea fedha  Tshs. 43,351,398,248  hadi kufikia Juni 2016 ilikuwa imepokea Tshs. 41,467,376,632  sawa na asilimia 95.

Jedwali hapo chini linaonyesha vyanzo vya Halmashauri, Makadirio, hali halisi, asilimia, utekelezaji na changamoto zilizojitokeza wakati wa utekelezaji wa bajeti hiyo kama ifuatavyo:-

Jedwali 12.I: Bajeti ya Halmashauri 2015/2016

                                                                                                                             
 

Na.

 
 

Vyanzo vya Halmashauri

 
 

Makadirio

 
 

Hali halisi ya makusanyo  ya Fedha

 
 

Asilimia

 
 

Utekelezaji

 
 

Changamoto

 
 

1.

 
 

Vyanzo vya  ndani

 
 

2,274,732,000

 
 

1,933,320,538

 
 

85

 
 

Fedha za  mapato  ya ndani zimechangia miradi ya  maendeleo;-

 

Mchango wa madawati  Tshs. 212,021,051

 

Kuchangia  ukamilishaji wa ujenzi wa maabara na ununuzi wa vifaa vya maabara Tshs.  37,810,000

 

Kuwezesha  unununzi wa kipaza sauti ukumbi wa Halmashauri Tshs.

 

4,613,400

 

Ukamilishaji  wa kituo cha kilimo Tshs. 5,600,000

 

Kuchangia  ujenzi wa ofisi mpya ya Mkurugenzi Tshs. 30,000,000

 

Kuchangia  ukarabati wa shule za msingi  Tshs.  10,000,000

 

Kufunga mfumo  wa kieletronic Tshs. 75,417,808

 

Kuchangia  mfuko wanawake na Vijana Tshs. 22,150,360 na

 

Uendeshaji wa  shughuli za ofisi vikao na ulipaji wa mishahara kwa watumish wanaolipwa na  mapato ya ndani.

 
 

-Mwamko mdogo  wa wananchi kulipa kodi na ushuru.

 

-Baadhi ya  Vijiji kutokuwa na Maafisa watendaji Vijiji.

 

-Shughuli za  uchaguzi Mkuu

 

-Mabasi  kutoingia stand.

 
 

2.

 
 

Fidia ya  vyanzo vilivyofutwa

 
 

          200,023,000

 
 

     31,977,000

 
 

 

 

16

 
 

Shughuli za  uendeshaji wa ofisi zilifanyika kulingana na fedha iliyotolewa.

 
 

Fedha kuto  kutolewa kulingana na Bajeti.

 
 

3.

 
 

Serikali kuu -  Ruzuku – OC

 
 

  2,327,258,000

 
 

1,769,377,000

 
 

76

 
 

Idara  ilitekeleza shughuli zilizopangwa kutokana na fedha zilizopokelewa 

 
 

Fedha  kutopokelewa kwa wakati.

 

Fedha kuto  kutolewa kulingana na Bajeti.

 
 

4.

 
 

Mishahara

 
 

32,612,236,000

 
 

31,899,123,217

 
 

98

 
 

Mishahara  ililipwa kwa Watumishi kwa wakati

 
 

Madeni ya  Malimbikizo  ya mapunjo ya mishahara.

 
 

5.

 
 

Miradi ya maendeleo.

 
  • Serikali   Kuu
  • Wafadhili
 

-            EGPAF

 

-            EASTERN ARC

 

-            MIVAF

 

-            TANAPA

 

-            Performance For Result (P4R)

 

-            Ujenzi / Uboreshaji Miundombinu- Kibacha

 

-            TASAF

 
 

 

 

 

 

   3,177,944,465

 

   

 

239,474,300

 

  

 

 15,400,000 21,300,000

 

  

 

18,000,000

 

     72,377,209

 

   

 

221,902,836

 

   

 

 

 

 

 

 

 

 

 

2,170,750,438

 

 

 
 

 

 

 

 

     3,147,136,623

 

     

 

166,711,771

 

     

 

15,400,000

 

21,300,000

 

  

 

18,000,000

 

   72,377,209     

 

     

 

     221,902,836

 

  

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 2,170,750,438

 
 

 

 

 

 

99

 

 

 

70

 

 

 

100